Staa wa bongo movie shamsa ford ambaye kwasasa ni mpenzi wa nay wa mitego wamechimbana huko insta kwa kutupiana maneno ambapo shamsa alipost picha na maneno yaliyosomeka kuwa
anajiona mwanamke kwasababu ameweza kuzaa kwanjia ya kawaida na mungu amemuepusha na kisu ambapo maneno hayo yalimkera sana siwema
kwa upande wa siwema aliibebelea post kama ilivyo nakuanza kumchamba shamsa kuwa sikupenda kuzaa kwa kisu ila madaktari walinishauri usilinge kwa kuwa na NAY nikitaka kumrudia hata sekunde haihishi
mtaani tulijaribu kuwa tafuta na siwema alijibu kuwa amechoshwa na upande wa shamsha aligoma kunena kitu
No comments:
Post a Comment