WEMA :INGEKUWA AMRI YANGU KIKWETE ANGEENDELEA KUBAKI MADARAKANI

Staa wa bongo muvi wema
sepetu alipozungumza huku mtaani kwetu asema ingekuwa amri yangu jakaya ningependa
jakaya abaki madarakani kwani amefanya vitu vikubwa kwakipindi cha miaka kumi
mimi ni shabiki mkubwa wa ccm  japo kunavitu vinanikera na inabidi virekebishwe ili kujiimarisha.

No comments:

Post a Comment