Watu kumi wamefarikina wengine hamsini wamejeruhiwa kufuatia ajali ilitokea katika kijiji samuye mkoani shinyanga,basi la kampuni ya
uniq express lenye na mba za usajili T 148BKK limegongana na gari la Kampuni ya cocacola na kupelekea watu 10 kupoteza maisha yao na wengine hamsini kujeruhiwa majeruhi wameshakimbizwa katika hospital ya mkoa shinyanga
No comments:
Post a Comment