Hivi umeshawahi kujiuliza hili swali.
Ni kwanini ladha na mvuto wa mwanamke wa kiafrika imepungua sana na sio
kama zamani? Unalala na mwanamke kitanda kimoja lakini moyo wako wala
haushituki.Ni kama vile umelala na msela wako ghetto.Wanawake wa
sasahivi wamepoteza mvuto kabisa ni afadhari hata ya picha za kuchora.
Sababu ni nyingi sana lakini sababu mojawapo ni kuwa wanawake wa sasa
walio wengi wanaendekeza usasa na kusahau asili ya urembo wa mwanamke wa
kiafrika.Zamani ilikua ni mwiko kwa mwanamke wa kiafrika kukosa angalau
mikanda miwili au mitatu ya shanga kiunoni.
Lakini wanawake wa sasahivi hawajui lolote kuhusiana na umuhimu wa kua
na shanga kiunoni na faida zake.Na wengi wao wanaona ni jambo lilopitwa
na wakati na ni ushamba.Na ndomana wengi wao wamepoteza mvuto na wamekua
kama visanamu vya kuchonga ambavyo havina stimu yeyote.Wamebaki na
kung’ang’ana na mikufu na cheni ambao ni utamaduni wa kimagharibi na
kusahau utamaduni wao wa asili ambao ni shanga(chachandu).
Na dhambi hii wanayoitenda itaendelea kuwatafuna na matokeo yake ndio
chanzo cha kuharibika kwa mahusiano mengi na kuvunjika kwa ndoa nyingi
sana.Lakini kwasababu ndio wanawake wetu na ndio mtihani tuliopewa na
Mungu hakuna njinsi.Ngoja niwamegee kidogo unyago huu pengine
MTAANI KWETU
MAYA: MIMI SIO MGUMBA
Staa mkongwe katika filamu za bongo ,Mayasa mrisho amefunguka kuwa yeye sio mgumba wala hana gundu ila muda bado wa kuzaa au kuolewa,
mayasa alisema hayo kutokana na
AUNT EZEKIEL NDOTO ZA KWENDA UJIFUNGULIA MAREKANI ZA GONGA MWAMBA
Staa wa bongo movie na mrembo aunt ezekiel ndoto zake za kwenda kujifungulia marekani zimegonga mwamba baada ya daktari wake kumzuia kwenda kujifungulia marekani kwa kuwa miezi imepita mno.
aunt ezekiel alijipanga kwenda
Subscribe to:
Posts (Atom)