LUNGI ATOBOA SIRI YAKE YA KUJIKOJOLEA

Staa wa bongo muvi lungi maulanga hivi karibuni ametoa ushuda kuwa alikuwa na tatizo la kujikojolea mpaka alipofika kidato cha pili alipona katika hali ya kushangaza
nikiri tu kuwa nilikuwa na tatizo la kujikojolea nilikuwa naona aibu sana lakini aliyenisaidia ni bibi mmoja ambaye aliniponya katika mazingira ya kushangaza
baada ya kumwambia tatizo langu aliniambia kwamba nipande juu ya muembe nikiwa na nguo zangu nikojoe kisha nishuke
niliposhuka akaniambia nibadili nguo zangu na kuniambia niseme kuwa tatizo langu limekwisha siluamini lakini ni kweli tatizo langu likawa limeishia hapa alisema lungi

No comments:

Post a Comment